Mimi ni Dotto T. Charles
Mimi ni msanidi wa mifumo ya kompyuta (Software Developer) mwenye uzoefu katika kutengeneza mifumo ya kisasa ya serikali, elimu na taasisi mbalimbali.
Mfumo wa EduAttend umetengenezwa kwa lengo la kuboresha usimamizi wa mahudhurio ya walimu kwa kutumia teknolojia za kisasa kama GPS, taarifa za muda halisi na usalama wa data.
Nina passion kubwa ya kutumia teknolojia kutatua changamoto za kijamii na kuboresha utoaji wa huduma kwa taasisi za umma.
Elimu
Bachelor of Science with Education in Mathematics and Information Communication Technology(ICT)-Mzumbe University
Utaalamu
Laravel, PHP, JavaScript, C, C++, Python, Java, MySQL, PostgreSQL, Bootstrap, Mobile Friendly UI/UX, Web Development.
Mawasiliano
Simu: +255-621-015-458
Email: tittocharles@gmail.com
Mahali
Chemba District Council
Available for projects & collaboration.
Uwezo na Teknolojia
Baadhi ya teknolojia na maeneo ninayofanyia kazi.
Backend Development
Frontend Development
Mfumo Maalum
Wasiliana Nami
Kwa mawasiliano, ushauri wa mifumo, website development, au miradi ya teknolojia, unaweza kuwasiliana nami kupitia njia zifuatazo.